Jifunze Qur’an Kwa Urahisi Na Masomo Mengine Ya Sheria.
“Kutoka kusoma hadi kuelewa na kuishi Uislamu”
Masomo ya Qur’an
• Jifunze usomaji sahihi wa Qur’an hatua kwa hatua
Live Classes
Jifunze na mwalimu moja kwa moja kupitia mtandao
Masomo Mbalimbali
Aqidah, Fiqh, Lugha ya Kiarabu na masomo mengine ya Kiislamu
Kwa nini uchague Ibn Jariir Online Classes?
Tunatoa mafunzo ya Kiislamu kwa njia ya mtandao kwa ubora na uaminifu. Masomo yetu yanakusaidia kujifunza Qur’an, Aqidah, Fiqh na Lugha ya Kiarabu kwa urahisi ukiwa nyumbani.
- Walimu wenye uzoefu wa kufundisha Qur’an
- Masomo ya moja kwa moja (Live Classes)
- Mafunzo hatua kwa hatua kwa urahisi
- Mawasiliano ya karibu kupitia WhatsApp
Masomo Yanayopatikana
Hi, Welcome back!
